halima mdee.
msanii huyo alieleza kero zake kwa mbunge huyo aliyepita kwa tiketi ya CHADEMA kwa kuwa halima mdee aliwaahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa wakati wa ubunge wake. ataitengeneza barabara hiyo kwa kiwango cha lami lakini hadi leo ni tope tupu.
Diamond alieleza kero zake kupitia kituocha CLOUS TV
pale alipoulizwa kuhusu mjengo wake mpya ulioko katika jimbo la kawe ndipo alipotoa masikitiko yake
0 comments:
Post a Comment