Minashindwa kuwaelew watu huwa wanataka kutoa kibanzi kwenye jicho la mtu wakati jicho lake lina lipande cha mti nimeumia sana kutokana na maneno ya wema mtoto anapanga mungu na sio binadamu, embu muwacheni mtoto wa watu awe na amani sasa au mnadhani kuwa yeye ana chumaa? naye anamoyo alafu kuna watu wanapenda kudandia mambo.
mmetandia weee mmemtukana mtoto wa watu mi naomba niwape namba ya mungu mmuulize sipendagi kufuatilia mabo ya watu ila hii imezidi sio vizuri jiwekeni nafasi yake kama hamjajinyonga Wema kiukweli una moyo wa kishujaa napenda wanawake na kama wewe mungu ndio ana majibu yote achana nao hao wenye kudandia yasio wahusu wanakuwa kama pweza wanamiguu mingi lakini hawawezi kusimama
aliandiaka irene kwenye mtandao hii ni baadaya wema kufunguka kuwa anatamani kuwa na mtoto lakini hana uwezo
>>> Unaweza kusoma pia habari zifuatazo hapo Chini >>>:
MASTAA WA BONGO MOVIE NJAA TUPU
Uchunguzi umebaini kuwa mastaa wengi wa bongo wanahali ngumu kutokana na kuibiwa kwa kazi zao na kuvunjwa na mikataba na kampuni kubwa za usamba zaji zinachangia
…Read More
SNURA AINGIZWA MJINI
Staa aliyeanza na bongo muvi na kukimbilia katika muziki snura mushi mama wa majanga simu yake ya mkononi imetekwa na wajanja wa mjini kwa kuswap na simu anazopigiwa haziingii kwake zinaenda kwa mtu mwingine ambaye hamjui wala hana mahusiano naye na
hajui alitumia njia gani kiteka
hata sielewi alitumia njia gani kuit…Read More
0 comments:
Post a Comment