WEMA kumuimbia mwanamke uliyemuacha ni ushamba

Staa wakike wa  bongo muvi wema sepetu a.k.a Madame amefunguka na kusema nui ushamba kumtungia nyimbo ya majungu msichana uliyeachana nae wasanii wengi wa muziki wa
bongo fleva wana tabia ya kuwatungia wapenzi wao wa zamani nyimbo zenye maneno ya kuudhi 

ni ushamba haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote maenzi yenu alafu unakuja kumtungia nyimbo za kumponda wakati mmeacha hakuna lakuwaita zaidi ya ushamba alisema madam


>>> Unaweza kusoma pia habari zifuatazo hapo Chini >>>:

  • VAI AFURAHIA KUACHIKA Staa wa bongo muvi isabela francis a.k.a Vai amefurahia kuachana na mpenzi wake boniface matiku a.k.a Bonny anasema akiwa pamoja kwa mama yake anauhuru hata wakunywa pombe asubuhi nyumbani raha sana niko na uhuru kuliko nilipokuwa kwa bonny sina mpango wa kurudiana nae japo kuwa ananiomba msamaha nirudiane nae ila s… Read More
  • WEMA kumuimbia mwanamke uliyemuacha ni ushamba Staa wakike wa  bongo muvi wema sepetu a.k.a Madame amefunguka na kusema nui ushamba kumtungia nyimbo ya majungu msichana uliyeachana nae wasanii wengi wa muziki wa bongo fleva wana tabia ya kuwatungia wapenzi wao wa zamani nyimbo zenye maneno ya kuudhi  ni ushamba haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote maenzi… Read More
  • LULU PIGO JINGINE PIGO GANI MKASA WOTE HAPA>>>>> staa wa bongo muvi elizabeth amefiwa na mpenzi wake ambaye inasemekana alikuwa bilionea alikuwa anaishi mwanza anajulikana kwa jina la seky alijigonga kwenye stuli wakati anapelekwa hospital ndipo yalimkuta mauti yake na hichi ndio chanzo cha lulu kuifunga akaunti yake ya instagram michael LULU apata pigo lingine wak… Read More

0 comments:

Post a Comment